1. Utakapoketi kwa chakula pamoja na mtawala,Mwangalie sana yeye aliye mbele yako.
2. Tena ujitie kisu kooni,Kama ukiwa mlafi.
3. Usivitamani vyakula vyake vya anasa;Kwa maana ni vyakula vya hila.
4. Usijitaabishe ili kupata utajiri;Acha kuzitegemea akili zako mwenyewe.