Mit. 16:8-11 Swahili Union Version (SUV)

8. Afadhali mali kidogo pamoja na haki,Kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.

9. Moyo wa mtu huifikiri njia yake;Bali BWANA huziongoza hatua zake.

10. Kukata maneno huwa katika midomo ya mfalme;Kinywa chake hakitakosa katika hukumu.

11. Mizani ya haki na vitanga vyake ni vya BWANA;Mawe yote ya mfukoni ni kazi yake.

Mit. 16