Mit. 1:8-10 Swahili Union Version (SUV)

8. Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako,Wala usiiache sheria ya mama yako,

9. Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako,Na mikufu shingoni mwako.

10. Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi,Wewe usikubali.

Mit. 1