Mdo 24:17-20 Swahili Union Version (SUV)

17. Baada ya miaka mingi nalifika niwaletee watu wa taifa langu sadaka na matoleo.

18. Wakaniona ndani ya hekalu nikishughulika na mambo haya, hali nimetakaswa, wala sikuwa na mkutano wala ghasia; lakini walikuwako baadhi ya Wayahudi waliotoka Asia,

19. ambao imewapasa hao kuwapo hapa mbele yako na kunishitaki, kama wana neno lo lote juu yangu.

20. Au watu hawa wenyewe na waseme, ni kosa gani waliloliona kwangu niliposimama mbele ya baraza,

Mdo 24