5. Makanisa yakatiwa nguvu katika ile Imani, hesabu yao ikaongezeka kila siku.
6. Wakapita katika nchi ya Frigia na Galatia, wakikatazwa na Roho Mtakatifu, wasilihubiri lile neno katika Asia.
7. Walipofika kukabili Misia wakajaribu kuenda Bithinia, lakini Roho wa Yesu hakuwapa ruhusa,
8. wakapita Misia wakatelemkia Troa.