Mdo 15:15-18 Swahili Union Version (SUV)

15. Na maneno ya manabii yapatana na hayo, kama ilivyoandikwa,

16. Baada ya mambo haya nitarejea,Nami nitaijenga tena nyumba ya Daudi iliyoanguka.Nitajenga tena maanguko yake,Nami nitaisimamisha;

17. Ili wanadamu waliosalia wamtafute Bwana,Na mataifa yote ambao jina langu limetajwa kwao;

18. Asema Bwana, ajulishaye hayo tangu milele.

Mdo 15