Lk. 24:51-53 Swahili Union Version (SUV)

51. Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.

52. Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wenye furaha kuu.

53. Nao walikuwa daima ndani ya hekalu, wakimsifu Mungu.

Lk. 24