Lk. 22:14-16 Swahili Union Version (SUV)

14. Hata saa ilipofika aliketi chakulani, yeye na wale mitume pamoja naye.

15. Akawaambia, Nimetamani sana kuila pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu;

16. kwa maana nawaambia ya kwamba siili tena hata itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu.

Lk. 22