1. Ikakaribia sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, iitwayo Sikukuu ya Pasaka.
2. Na wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia ya kumwua; maana walikuwa wakiwaogopa watu.
3. Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara.