Kut. 31:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

2. Angalia, nimemwita kwa jina lake Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila ya Yuda;

3. nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina,

Kut. 31