Kut. 21:15-17 Swahili Union Version (SUV)

15. Ampigaye baba yake au mama yake, sharti atauawa.

16. Yeye amwibaye mtu, na kumwuza, au akipatikana mkononi mwake, sharti atauawa huyo

17. Yeye amwapizaye baba yake au mama yake, sharti atauawa.

Kut. 21