Kut. 21:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi hukumu utakazoziweka mbele ya watu ni hizi

2. Ukimnunua mtumwa wa Kiebrania, atakutumikia muda wa miaka sita; mwaka wa saba atatoka kwako huru bure.

3. Kwamba aliingia kwako peke yake tu, atatoka hivyo peke yake; kwamba ameoa, mkewe atatoka aende pamoja naye.

Kut. 21