12. Lakini hawa msiwale; tai, na furukombe, na kipungu;
13. na kengewa, na kozi, na mwewe kwa aina zake;
14. na kila kunguru kwa aina zake;
15. na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake;
16. na bundi, na mumbi, na bundi mkubwa;
17. na mwari, na nderi, na mnandi;