Kol. 3:6-9 Swahili Union Version (SUV)

6. kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.

7. Katika hayo ninyi nanyi mlitembea zamani, mlipoishi katika hayo.

8. Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu.

9. Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake;

Kol. 3