Isa. 27:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu lewiathani, nyoka yule mwepesi, na lewiathani, nyoka yule mwenye kuzonga-zonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.

2. Katika siku hiyo; Shamba la mizabibu la mvinyo, liimbieni.

Isa. 27