Hes. 31:45-47 Swahili Union Version (SUV)

45. na punda thelathini elfu, na mia tano,

46. na wanadamu kumi na sita elfu;)

47. na katika hiyo nusu iliyokuwa ya wana wa Israeli, Musa akatwaa mmoja aliyetolewa katika kila hamsini, wa binadamu na wa wanyama, akawapa Walawi, waliolinda ulinzi wa maskani ya BWANA; kama BWANA alivyomwagiza Musa.

Hes. 31