Hes. 26:12-17 Swahili Union Version (SUV)

12. Na wana wa Simeoni kwa jamaa zao; wa Yemueli, jamaa ya Wayemueli; wa Yamini, jamaa ya Wayamini; na Yakini, jamaa ya Wayakini;

13. wa Sohari, jamaa ya Wasohari; wa Shauli, jamaa ya Washauli.

14. Hizi ndizo jamaa za Wasimeoni, watu ishirini na mbili elfu na mia mbili.

15. Na wana wa Gadi kwa jamaa zao; wa Sifoni, jamaa ya Wasifoni; wa Hagi, jamaa ya Wahagi; wa Shuni, jamaa ya Washuni;

16. wa Ezboni, jamaa ya Waezboni; wa Eri, jamaa ya Waeri;

17. wa Arodi, jamaa ya Waarodi; wa Areli, jamaa ya Waareli.

Hes. 26