19. Na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao walikuwa arobaini elfu na mia tano.
20. Na karibu naye itakuwa kabila ya Manase; na mkuu wa wana wa Manase atakuwa Gamalieli mwana wa Pedasuri;
21. na jeshi lake, na wale waliohesabiwa kwao, walikuwa thelathini na mbili elfu na mia mbili;