Gal. 4:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Lakini nasema ya kuwa mrithi, wakati wote awapo mtoto, hana tofauti na mtumwa, angawa ni bwana wa yote;

2. bali yu chini ya mawakili na watunzaji, hata wakati uliokwisha kuamriwa na baba.

3. Kadhalika na sisi, tulipokuwa watoto, tulikuwa tukitumikishwa na kawaida za kwanza za dunia.

Gal. 4