Flm. 1:18-20 Swahili Union Version (SUV)

18. Na kama amekudhulumu, au unamwia kitu, ukiandike hicho juu yangu.

19. Mimi Paulo nimeandika kwa mkono wangu mwenyewe, mimi nitalipa. Sikuambii kwamba nakuwia hata nafsi yako.

20. Naam, ndugu yangu, nipate faida kwako katika Bwana; uniburudishe moyo wangu katika Kristo.

Flm. 1