Ayu. 6:18-23 Swahili Union Version (SUV)

18. Misafara isafiriyo kwa njia yao hugeuka;Hukwea kwenda barani, na kupotea.

19. Misafara ya Tema huvitazama,Majeshi ya Sheba huvingojea.

20. Wametahayari kwa sababu walitumaini;Wakaja huku, nao walifadhaika.

21. Kwani sasa ninyi mmekuwa vivyo;Mwaona jambo la kutisha, mkaogopa.

22. Je! Nilisema, Nipeni?Au, Nitoleeni toleo katika mali yenu?

23. Au, Niokoeni na mkono wa adui?Au, Nikomboeni na mikono ya hao waoneao?

Ayu. 6