Ayu. 5:5-8 Swahili Union Version (SUV)

5. Mavuno yake wale wenye njaa huyala,Na kuyatwaa hata kuyatoa miibani,Nao wenye kiu huzitwetea mali zao.

6. Kwani taabu haitoki mchangani,Wala mashaka hayachipuki katika nchi;

7. Lakini mwanadamu huzaliwa ili apate mashaka,Kama cheche za moto zirukavyo juu.

8. Lakini mimi ningemtafuta Mungu,Ningemwekea Mungu daawa yangu;

Ayu. 5