34. Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni,ili wingi wa maji ukufunikize?
35. Waweza kuutuma umeme, nao ukaenda,Ukakuambia, Sisi tupo hapa?
36. Je! Ni nani aliyetia hekima moyoni?Au ni nani aliyetia ufahamu rohoni?
37. Ni nani awezaye kuyahesabu mawingu kwa hekima?Au ni nani awezaye kuzimimina chupa za mbinguni?