Ayu. 36:25-28 Swahili Union Version (SUV)

25. Wanadamu wote wameitazama;Watu huiangalia kwa mbali

26. Tazama, Mungu ni mkuu, nasi hatumjui;Hesabu ya miaka yake haitafutiki.

27. Kwani yeye huvuta juu matone ya maji,Yamwagikayo katika mvua kutoka kungeni mwake;

28. Ambayo mawingu yainyeshaNa kudondoza juu ya wanadamu kwa wingi.

Ayu. 36