25. Wanadamu wote wameitazama;Watu huiangalia kwa mbali
26. Tazama, Mungu ni mkuu, nasi hatumjui;Hesabu ya miaka yake haitafutiki.
27. Kwani yeye huvuta juu matone ya maji,Yamwagikayo katika mvua kutoka kungeni mwake;
28. Ambayo mawingu yainyeshaNa kudondoza juu ya wanadamu kwa wingi.