Ayu. 21:23-26 Swahili Union Version (SUV)

23. Mmoja hufa katika nguvu zake kamili,Mwenye kukaa salama na kustarehe;

24. Vyombo vyake vimejaa maziwa,Na mafuta ya mifupani mwake ni laini.

25. Mwingine hufa katika uchungu wa roho,Asionje mema kamwe.

26. Wao hulala mavumbini sawasawa,Mabuu huwafunika.

Ayu. 21