23. Mmoja hufa katika nguvu zake kamili,Mwenye kukaa salama na kustarehe;
24. Vyombo vyake vimejaa maziwa,Na mafuta ya mifupani mwake ni laini.
25. Mwingine hufa katika uchungu wa roho,Asionje mema kamwe.
26. Wao hulala mavumbini sawasawa,Mabuu huwafunika.