7. Hata hivyo ataangamia milele kama mavi yake mwenyewe;Hao waliomwona watasema, Yuko wapi?
8. Ataruka mfano wa ndoto, asionekane;Naam, atafukuzwa kama maono ya usiku,
9. Jicho lililomwona halitamwona tena;Wala mahali pake hapatamtazama tena.
10. Watoto wake watataka fadhili kwa maskini,Na mikono yake itarudisha mali yake.