26. Kwani umeandika maneno ya uchungu juu yangu,Na kunirithisha maovu ya ujana wangu;
27. Waitia miguu yangu katika mkatale, na kuyaaua mapito yangu yote;Wajiandikia alama kuzizunguka nyayo za miguu yangu;
28. Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa,Mfano wa nguo iliyoliwa na nondo.