Ayu. 13:26-28 Swahili Union Version (SUV)

26. Kwani umeandika maneno ya uchungu juu yangu,Na kunirithisha maovu ya ujana wangu;

27. Waitia miguu yangu katika mkatale, na kuyaaua mapito yangu yote;Wajiandikia alama kuzizunguka nyayo za miguu yangu;

28. Nijapokuwa ni kama kitu kilichooza, kinachosinyaa,Mfano wa nguo iliyoliwa na nondo.

Ayu. 13