Ayu. 12:6-8 Swahili Union Version (SUV)

6. Hema za wapokonyi hufanikiwa,Na hao wamkasirishao Mungu hukaa salama;Mikononi mwao Mungu huleta vitu vingi.

7. Lakini sasa waulize hao wanyama, nao watakufundisha;Na nyuni wa angani, nao watakuambia;

8. Au nena na nchi, nayo itakufundisha;Nao samaki wa baharini watakutangazia.

Ayu. 12