Ayu. 10:6-10 Swahili Union Version (SUV)

6. Hata ukauliza-uliza habari za uovu wangu,Na kuitafuta dhambi yangu,

7. Ujapojua ya kuwa mimi si mwovu;Wala hapana awezaye kuokoa na mkono wako?

8. Mikono yako imeniumba na kunifinyanga;Nawe utageuka na kuniangamiza?

9. Kumbuka, nakusihi ulivyonifinyanga kama vile udongo;Nawe, je! Utanirudisha uvumbini tena?

10. Je! Wewe hukunimimina kama maziwa,Na kunigandisha mfano wa jibini?

Ayu. 10