2 Tim. 3:7-9 Swahili Union Version (SUV)

7. wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.

8. Na kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na ile kweli; ni watu walioharibika akili zao, wamekataliwa kwa mambo ya imani.

9. Lakini hawataendelea sana; maana upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama vile na upumbavu wa hao ulivyokuwa dhahiri.

2 Tim. 3