2 Tim. 3:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.

2. Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,

2 Tim. 3