2 The. 2:15-17 Swahili Union Version (SUV)

15. Basi, ndugu, simameni imara, mkayashike mapokeo mliyofundishwa, ama kwa maneno, ama kwa waraka wetu.

16. Na Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu, aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema,

17. awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika kila neno na tendo jema.

2 The. 2