2 Sam. 13:38-39 Swahili Union Version (SUV)

38. Basi Absalomu akakimbia, akaenda Geshuri, akakaa huko muda wa miaka mitatu.

39. Mfalme Daudi akatamani kutoka kumwendea Absalomu kwa kuwa ametulizwa kwa habari ya Amnoni, kwa maana amekufa.

2 Sam. 13