2 Nya. 28:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka kumi na sita; wala hakufanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama Daudi babaye;

2. bali akaziendea njia za wafalme wa Israeli, akawafanyizia mabaali sanamu za kusubu.

2 Nya. 28