27. Basi, toka wakati alipogeuka Amazia katika kumfuata BWANA, wakamfanyia fitina katika Yerusalemu; naye akakimbia mpaka Lakishi; lakini wakatuma kumfuata mpaka Lakishi, wakamwua huko.
28. Wakamleta juu ya farasi; wakamzika pamoja na babaze katika mji wa Yuda.