2 Kor. 11:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Laiti mngechukuliana nami katika upumbavu wangu kidogo! Naam, mchukuliane nami.

2. Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa naliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi.

2 Kor. 11