2 Kor. 1:20-22 Swahili Union Version (SUV)

20. Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena kwa hiyo katika yeye ni Amin; Mungu apate kutukuzwa kwa sisi.

21. Basi Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu,

22. naye ndiye aliyetutia muhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.

2 Kor. 1