2 Fal. 13:22-24 Swahili Union Version (SUV)

22. Na Hazaeli mfalme wa Shamu akawaonea Israeli siku zote za Yehoahazi.

23. Lakini BWANA akawahurumia, akawasikitikia, na kuwaangalia, kwa ajili ya agano lake na Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, wala hakutaka kuwaangamiza, wala hakuwatupa usoni pake bado.

24. Akafa Hazaeli mfalme wa Shamu, na Ben-hadadi mwanawe akatawala mahali pake.

2 Fal. 13