1 Tim. 3:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ni neno la kuaminiwa; mtu akitaka kazi ya askofu, atamani kazi njema.

2. Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha;

1 Tim. 3