1 Sam. 23:28-29 Swahili Union Version (SUV)

28. Basi Sauli akarudi kutoka kumwinda Daudi, akaenda kinyume cha Wafilisti; kwa hiyo wakapaita mahali pale, Selahamalekothi.

29. Naye Daudi akakwea kutoka huko, akakaa katika ngome ya Engedi.

1 Sam. 23