1 Nya. 6:38-45 Swahili Union Version (SUV)

38. mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.

39. Na nduguye Asafu, aliyesimama upande wake wa kuume, huyo Asafu alikuwa mwana wa Berekia, mwana wa Shimea;

40. mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya;

41. mwana wa Yeatherai, mwana wa Zera, mwana wa Ido;

42. mwana wa Yoa, mwana wa Zima, mwana wa Shimei;

43. mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.

44. Na upande wa kushoto ndugu zao, wana wa Merari; Ethani, mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki;

45. mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia;

1 Nya. 6