17. Na wana wa Eliezeri; Rehabia mkuu wao. Yeye Eliezeri hakuwa na wana wengine; lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.
18. Wana wa Ishari; Shelomithi mkuu wao.
19. Wana wa Hebroni; Yeria mkuu wao, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
20. Wana wa Uzieli; Mika mkuu wao, na Ishia wa pili.