5. na Ibhari, na Elishua, na Elpeleti;
6. na Noga, na Nefegi, na Yafia;
7. na Elishama, na Eliada, na Elifeleti.
8. Na waliposikia hao Wafilisti ya kwamba Daudi ametiwa mafuta ili awe mfalme juu ya Israeli wote, Wafilisti wote wakapanda kumtafuta Daudi; naye Daudi akasikia, akatoka nje kupigana nao.