1 Nya. 1:16-20 Swahili Union Version (SUV)

16. na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.

17. Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.

18. Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.

19. Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.

20. Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;

1 Nya. 1