1 Kor. 6:15-17 Swahili Union Version (SUV)

15. Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? Hasha!

16. Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.

17. Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.

1 Kor. 6