1 Kor. 14:29-32 Swahili Union Version (SUV)

29. Na manabii wanene wawili, au watatu, na wengine wapambanue.

30. Lakini mwingine aliyeketi akifunuliwa neno, yule wa kwanza na anyamaze.

31. Kwa maana ninyi nyote mwaweza kuhutubu mmoja mmoja, ili wote wapate kujifunza, na wote wafarijiwe.

32. Na roho za manabii huwatii manabii.

1 Kor. 14