1 Kor. 11:31-34 Swahili Union Version (SUV)

31. Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa.

32. Ila tuhukumiwapo, twarudiwa na Bwana, isije ikatupasa adhabu pamoja na dunia.

33. Kwa hiyo, ndugu zangu, mkutanikapo mpate kula, mngojaneni;

34. mtu akiwa na njaa, na ale nyumbani kwake; msipate kukutanika kwa hukumu. Na hayo yaliyosalia nijapo nitayatengenez

1 Kor. 11