20. Sivyo, lakini vitu vile wavitoavyo sadaka wavitoa kwa mashetani, wala si kwa Mungu; nami sipendi ninyi kushirikiana na mashetani. Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mashetani.
21. Hamwezi kushirikiana katika meza ya Bwana na katika meza ya mashetani.
22. Au twamtia Bwana wivu? Je! Tuna nguvu zaidi ya yeye?